<?xml version="1.0" encoding="UTF-8" ?>
<rss version="2.0">
    <channel>
        <title>Lamax Designs - Ofa Iliyopo</title>
        <link>http://lamax-designs.mozellosite.com/habari/ofa-iliyopo/</link>
        <description>Lamax Designs - Ofa Iliyopo</description>
                    <item>
                <title>TAFUTA COVER DESIGN INAYOENDANA NA HIZI SIFA (2)....</title>
                <link>http://lamax-designs.mozellosite.com/habari/ofa-iliyopo/params/post/4011921/</link>
                <pubDate>Thu, 17 Mar 2022 21:53:00 +0000</pubDate>
                <description>&lt;p&gt;&lt;b&gt;_(1). Wateja unaoenda kuwauzia, au unaotaka waje wanunue kwako.&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;✍🏽Kwahiyo, &lt;i&gt;usitafute cover design ya Tsh.10,000 wakati unataka kwenda kuwauzia watu wenye kipato cha kati na cha juu.&lt;/i&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;(Mara nyingi, gharama huenda sambamba na Ubora)&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;b style=&quot;font-size: 14px;&quot;&gt;(2). Unavyotaka watu wakuchukulie wewe, pamoja na Kitabu chako.&lt;/b&gt;&lt;br&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;✍🏽Jinsi &#039;cover design&#039; ilivyo, ndivyo Kitabu chako kitakavyochukuliwa&lt;/p&gt;&lt;p&gt;Na ndivyo utakavyochukuliwa na wewe (Mwandishi).&lt;/p&gt;&lt;p&gt;✍🏽&lt;i&gt;Haijalishi kwa ndani umeandika mambo mazuri na matamu kiasi gani, bado watu Wataanza kukihukumu kitabu chako kuanzia Nje (kwenye cover design)&lt;/i&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;✍🏽Cover design ikiwa ya hovyo, hata kazi yako nayo itachukuliwa vivyo hivyo.&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;b&gt;✍🏽Cover design ikiwa ya hovyo, hata Nawe (mwandishi) utaonekana ni wa hovyo (hujali unachokifanya)&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;Je, kwa upande wako; Cover design ya Kitabu chako inaendana na nini❓&lt;br&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;‼️Je, unahitaji huduma ya Cover design inayoendana na hayo tuliyoyaongelea hapo juu, pamoja na kupata Ushauri wa BURE katika kila hatua❓&lt;/p&gt;&lt;p&gt;Basi karibu sana @lamaxdesigns (bila kuchelewa).&lt;/p&gt;&lt;p&gt;Tupo WhatsApp kwa nambari 0764 793 105.&lt;/p&gt;&lt;p&gt;💥Wasiliana Nasi sasa hivi .... &lt;b&gt;LEO zipo Bonus kadhaa (za BURE) kwa ajili yako.... hautazipata ukija Kesho.... ni za Leo Tu!&lt;/b&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;BY @LAMAXDESIGNS*&lt;br&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;🚀Share, pia Andika Comment yako hapa chini (shukurani au maswali)&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;br&gt;&lt;img src=&quot;https://site-1917338.mozfiles.com/files/1917338/CUSTOMER_TESTIMONIES--SHIBANDA.jpg?1647682296&quot;&gt;&lt;/p&gt;&lt;p&gt;&lt;br&gt;&lt;/p&gt;</description>
            </item>
            </channel>
</rss>