UZA VITABU VYAKO KATIKA JUKWAA LA AMAZON.COM UWAFIKIE WATU WENGI DUNIANI, UPATE WATEJA WENGI WA UHAKIKA PAMOJA NA FAIDA KUBWA...
🍎 Ndugu mwandishi wa vitabu, hivi unajua kwamba, ukiweka kitabu chako katika jukwaa la AMAZON, unaweza kuwafikia watu wengi sana Duniani?
Kama ulikuwa hujui, basi lijue hilo kuanzia sasa.
AMAZON INA MAMILIONI YA WATEJA DUNIANI KOTE; WANAOPENDA KUNUNUA NA KUSOMA VITABU.
Hivyo kitabu chako kinakuwa na uwezekano mkubwa wa kufikiwa na wasomaji wengi.
Na unaweza kuuza kitabu chako katika masoko mbalimbali ya Amazon kama vile Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, India, na mengineyo... Kwa lugha tofauti tofauti.
(SIKILIZA HUU USHUHUDA WA VIDEO WA CPA RITA LYAMUYA TULIYEMSAIDIA KUWEKA KITABU CHAKE KATIKA JUKWAA LA AMAZON.COM).
Na Kizuri Zaidi ni kwamba....
HIZI HAPA FAIDA SITA (6) ZA KUWEKA KITABU CHAKO KATIKA JUKWAA LA AMAZON.COM👇
◀️1: Ni Rahisi Kujiunga: Unaweza kufungua account yako chini ya dakika 5 tu ukiwa na details zote. Hakuna ugumu wa namna yoyote ukiwa na muongozo sahihi.
◀️2: Unadhibiti kila kitu: Wewe ndiye mmiliki wa account yako kwa 💯%; unaamua bei ya kitabu chako, unaamua ukiuze katika muundo gani - kama ni Kindle eBook, paperback au hardcover, unaamua muonekano wake, n.k.
◀️3: Unawafikia Wateja wengi: Amazon ina mamilioni ya wateja duniani kote wanaopenda kununua na kusoma vitabu,
✔️hivyo kitabu chako kitakuwa na uwezekano mkubwa wa kufikiwa na wasomaji wengi.
✔️Na unaweza kuuza kitabu chako katika masoko mbalimbali ya Amazon, kama vile Marekani, Uingereza, Ujerumani, Ufaransa, India, na mengineyo. (Unaweza kutafsiri kitabu chako katika lugha mbalimbali ili kuwafikia wasomaji zaidi).
◀️4: Mchakato ni Rahisi na wa Haraka: Unaweza kupakia faili la kitabu chako (manuscript) na jalada ndani ya dakika chache tu, kisha kazi yako ikapitiwa na Amazon ndani ya saa 24-72 na kuruhusiwa kuendelea kuuzika.
◀️5: Urahisi wa kupata Ripoti za Mauzo na Takwimu: Unaweza kufuatilia mauzo ya kitabu chako na kupata takwimu za wasomaji kupitia akaunti yako ya KDP. Na hii itakusaidia kuelewa jinsi kitabu chako kinavyofanya vizuri au vibaya - ukafanya maboresho.
◀️6: Uhuru Mkubwa: Una uhuru wa kuchapisha kitabu cha aina yoyote bila kufungwa. Unaweza kuchapisha riwaya, hadithi fupi, mashairi, vitabu vya watoto, vitabu vya elimu, na aina nyinginezo za vitabu.
☎️Kwahiyo, kama nawe una mpango wa kufikia SOKO KUBWA LA KIMATAIFA lililojaa Watu walio tayari kununua na kusoma vitabu.... Amazon ni sehemu sahivi ya kuweka vitabu vyako. UTAWEZA KUWAFIKIA WASOMAJI WALIOPO nje ya Tanzania, Asia, Ulaya, America (DIASPORA) KIRAHISI ZAIDI.
HATA KITABU CHAKO ULICHOANDIKA KWA LUGHA YA KISWAHILI UNAWEZA KUKIUZA AMAZON. Na unaweza kukiweka na kikakubaliwa kabisa ukifuata ushauri wetu Kwa Usahihi kama ulivyo.
👇👇
SIKILIZA MWANDISHI...
UKIWEKA KITABU CHAKO AMAZON, UNAPATA FAIDA YA FEDHA ZA KIGENI (DOLLAR, EURO, n.k) AMBAZO UKIBADILI KWA FEDHA ZA TANZANIA (shilingi), UNAKUWA NA FAIDA KUBWA SANA - Tofauti na ukipata malipo ya TSH peke yake.
Fikiria ukipata mauzo ya 500 USD (Dola 500 za Marekani), hiyo ni zaidi ya shilingi 1,250,000 za kitanzania.
Na unakuwa na uhuru wa kuchapisha kitabu cha aina yoyote bila kufungwa. Unaweza kuchanganya riwaya, hadithi fupi, mashairi, vitabu vya watoto, vitabu vya elimu, na aina nyinginezo za vitabu KWA LUGHA YOYOTE INAYOTAMBULIKA KIMATAIFA - IKIWEMO KISWAHILI.
Cha kufanya ili uweze kuuza kitabu chako Amazon👇
1. Weka kitabu chako katika softcopy (word document)
2. Panga kitabu chako katika format za Amazon KDP. Format ya eBook ni ePub, format ya Paperback (hardcopy) ni PDF
3. Andaa Cover design nzuri
4. Fungua account ya Amazon KDP (Kindle direct publishing)
5. Weka kitabu chako (upload) kwa kufuata hatua zote unazopewa.
By the way,
Ikiwa unahitaji kusaidiwa kufungua account Amazon, kuverify account, kuunganisha account yako na Njia za kupokea malipo ya vitabu vyako kutoka Amazon kuja Tanzania... Bei ya huduma ni Tsh elfu 30 tu!
Ikiwa unahitaji kupangiwa kitabu chako katika format ya Amazon kdp, ePub format (ya eBook) au PDF format (ya paperback/hardcopy)... Bei ni kuanzia Tsh Laki moja Kwenda mbele. Endelea kusoma maelezo ya hapa kuona Bei zote Kwa uwazi.
KUMBUKA...
Huwezi kujiwekea kitabu chochote tu Amazon....
Ni lazima kitabu chako kipangwe kwanza (formatting/typesetting) katika format zinazokubaliwa Amazon.
Kwenye Kindle ebook (ambayo ni EPUB), kwenye paperback na hardcover (ambayo ni PDF) ili kiweze kusomeka vyema kwa wateja waliopo duniani kote.
Na pia sanifu la jalada la kitabu chako (cover design) linapaswa kukidhi viwango vya kimataifa.
SASA...
🍎IKIWA HAUNA UJUZI WA KUSANIFU JALADA LA KITABU CHAKO (cover design) NA KUKIPANGA VIZURI KATIKA FORMAT ZA AMAZON....
LAMAX DESIGNS TUNAWEZA KUKUSAIDIA.
Na hutajuta kufanya kazi Yako nasi.
Tumekwisha kuwahudumia wateja 250+ wa ndani na nje ya nchi ya Tanzania na wakafurahia huduma zetu. Hivyo, hupaswi kuwa na shaka kabisa juu ya ubora wa huduma au kiwango cha uaminifu.
HAPA CHINI TUMEKUWEKEA SHUHUDA CHACHE TU ILI UAMINI, ILA SHUHUDA ZIPO ZAIDI YA 150.
PENGINE UNAJIULIZA SASA JUU YA GHARAMA ZA KUPANGIWA KITABU CHAKO CHA KUWEKA AMAZON...
GHARAMA ZAKE HIZI HAPA CHINI... (Ziangalie taratibu)👇

🍎Ikiwa kitabu chako kina kurasa (page) chini ya 50, Gharama ya kupangiwa kwenye eBook au Paperback format ni Tsh.100,000 tu. NA KAZI YAKO UNAIPATA NDANI YA SIKU 7 TU BILA KUCHELEWESHWA.
🍎Ikiwa kitabu chako kina kurasa (page) kati ya 50 hadi 100, Gharama ya kupangiwa
kwenye eBook au Paperback format
ni Tsh.150,000 tu. NA KAZI YAKO UNAIPATA NDANI YA SIKU 7 TU BILA KUCHELEWESHWA.
🍎Ikiwa kitabu chako kina kurasa (page) kati ya 100 hadi 150, Gharama ya kupangiwa
kwenye eBook au Paperback format
ni Tsh. 200,000 tu. NA KAZI YAKO UNAIPATA NDANI YA SIKU 10 TU BILA KUCHELEWESHWA.
🍎Ikiwa kitabu chako kina kurasa (page) kati ya 150 hadi 200, Gharama ya kupangiwa
kwenye eBook au Paperback format
ni Tsh. 250,000 tu. NA KAZI YAKO UNAIPATA NDANI YA SIKU 14 TU BILA KUCHELEWESHWA.
🍎Ikiwa kitabu chako kina kurasa (page) kati ya 200 hadi 300, Gharama ya kupangiwa kwenye eBook au Paperback format ni Tsh. 300,000 tu. NA KAZI YAKO UNAIPATA NDANI YA SIKU 14 TU BILA KUCHELEWESHWA.
UTAPATA NA BONUS ZIFUATAZO (BURE UKILIPIA HUDUMA YA KUPANGIWA KITABU CHAKO)...
- Tutakusaidia kukiweka kitabu chako katika Website ya AMAZON.COM kwa usahihi zaidi ili upate wateja.
- Tutakusaidia kwenye Namna ya kuunganisha account yako ya Amazon na NJIA BORA ZA MALIPO (Payment methods) Zitakazokusaidia kutoa pesa zako za mauzo ya kitabu Amazon kuja Tanzania bila shida yoyote (Ukitumia Benki za Tanzania utakwama, ila kupitia Njia yetu utafanikiwa kupokea na kutoa hela zako kirahisi).
- TUNAKUPATIA MAFUNZO YA BURE KABISA YA JINSI YA KUPATA WATEJA WENGI ZAIDI.
BONYEZA HII BUTTON NYEKUNDU HAPA CHINI IKIWA UNAHITAJI HUDUMA HII; kitabu chako kipangwe katika Format za Amazon, kiweze kuuzwa online kwa wateja waliopo popote pale ulimwenguni. 👇
ANGALIZO; IKIWA KITABU CHAKO KINA MAJEDHARI MENGI NA MICHORO MINGI, GHARAMA ZITAKUWA TOFAUTI kwa sababu ya uzito wa kazi ya upangaji wa aina hiyo ya vitabu. (Wasiliana nasi, tujadiliane vizuri, upewe bei nzuri)
🍎Kumbuka: HII NI FURSA YA WIKI HII TU ♌ USICHELEWE, UKAJA KUKUTA GHARAMA ZIMESHAPANDA MARA DUFU!

SIKILIZA USHUHUDA KWENYE HII VIDEO HAPA CHINI 👇
BONYEZA HAPA KUJA WHATSAPP KUPATA HUDUMA HARAKA....
...