Kozi Bora Ya Uandishi wa Vitabu nchini Tanzania...

🥊SOMA MAELEZO YOTE MPAKA MWISHO 👇
IKIWA UNA HAMU YA KUANDIKA NA KUTOA KITABU CHAKO kabla mwaka huu haujaisha, nawe uanze kuitwa Mwandishi wa Vitabu - Jina lako Likue (branding), uongeze wateja, uingize kipato, uache alama (Legacy) na kupata Fursa mbalimbali....
.....PAMOJA NA KUJUA JINSI YA KUUZA VITABU VYAKO KIRAHISI ZAIDI TOFAUTI NA WAANDISHI WENGINE WANAOTESEKA KUUZA KAZI ZAO...
......basi JISAJILI Leo ndani ya hii KOZI YA UANDISHI WA VITABU KWA NJIA RAHISI inayoanza Muda sio mrefu kupitia WhatsApp group.
NAFASI NYINGI ZIMESHACHUKULIWA.... ZIMEBAKI NAFASI 8 TU ZA UPENDELEO unazopaswa Kuziwahi sasa hivi Kabla Hazijaisha!
_____________________
Kusema ukweli,
Mpaka Kozi hii inaisha utakuwa unajua yafuatayo kwa Undani zaidi 👇🏻
✅Utakuwa unajua jinsi ya kubadilisha wazo lako kuwa kitabu
✅Utakuwa unajua jinsi ya kuandika kitabu katika staili inayomvutia msomaji
✅Utakuwa na uwezo wa kuandika kitabu chako mwanzo mpaka mwisho bila kuishia njiani
✅Hautaishiwa mawazo ya kuandika kwenye kitabu chako. (Zipo njia 9 za uhakika)
✅Utakuwa na ujuzi wa kuwaandikia wengine vitabu na kujitengenezea kipato cha ziada
✅Utakuwa unajua jinsi ya kuuza vitabu vyako kirahisi (hautateseka tena)
✅Utakuwa unajua njia salama za kuuza vitabu vyako mtandaoni bila kuibiwa wala kusambazwa bure kwa watu wengine ambao hawajavinunua.
Pamoja na mengine mengi (ya muhimu)
✏️Na hayo ndio maarifa yaliyomsaidia ZAKAYO IGANJA kuwa Mwandishi mzuri wa vitabu na kutwaa TUZO MBILI ZA MWANDISHI BORA WA VITABU.
Na ndio maarifa yaliyomsaidia MWL. BENJAMIN MADAHA kuwa Mwandishi mzuri wa vitabu vya elimu, pesa na masoko.
Yaani, Utajifunza👇🏻
✅(01) NINI CHA KUANDIKA
Ikiwa huwa unataka kuandika vitabu, lakini Haujui uandike juu ya nini...(Tutakuonesha maeneo 9 ya uhakika unayoweza kutumia).
HAUTAKOSA TENA CHA KUANDIKA✍🏼
_____________________
✅(02) UANDIKE WAKATI GANI
Yapo mambo matatu (3) muhimu unayopaswa kuyazingatia KABLA HAUJAANZA au HAUJAENDELEA KUANDIKA KITABU CHAKO.
🚯Usipoyajua, utakuja kujutia muda wako mwingi ulioutumia kuandika Kitabu chako.
_____________________
✅(03) JINSI YA KUPATA MAWAZO BORA YA KUANDIKIA VITABU/YA KUANDIKA KWENYE VITABU VYAKO
Ikiwa huwa unaanza kuandika vitabu halafu unajikuta ukiishia njiani kwa kukosa mawazo Mapya..... au unataka kuandika vitabu lakini Hujui uandike uandike nini cha tofauti na waandishi wengine (kitakacho kutofautisha na waandishi wengine) utaelekezwa cha kufanya.
UTAJUA JINSI YA KUPATA MAWAZO BORA YA KUANDIKA KWENYE KITABU CHAKO ✍🏼
_____________________
✅(04) JINSI YA KUANDIKA KITABU CHAKO
Ikiwa una jambo (wazo) la Kuandikia Kitabu, lakini Hujui JINSI YA KULIANDIKA KWA UZURI ZAIDI ili limvutie Msomaji wako (asome Kitabu chako HUKU AKIWA ANATABASAMU) ... utaelekezwa cha kufanya.
WASOMAJI WATAKUJA FURAHIA KITABU CHAKO 😊
_____________________
✅(05) JINSI YA KUUZA VITABU VYAKO KIRAHISI
Waandishi wengi hupata shida katika hili eneo baada ya kutoa vitabu vyao, na wengi wao huishia kukata tamaa baada ya kuona kazi zao hazinunuliwi.
Sasa, wewe utaoneshwa Njia rahisi na Bora zitakazokusaidia kuuza kazi zako KIRAHISI zaidi (nje na ndani ya mtandao) tofauti na waandishi wengine. HAUTATESEKA TENA.
Utaoneshwa pia na Njia za kuuzia vitabu vyako.
___________________
SIO HIVYO TU!
⏩Utapata pia OFA (BUNUS) ya FREE MENTORSHIP yenye thamani ya Tsh.100,000🆓 baada ya darasa kuisha. (Yaani, utaendelea kushikwa mkono kuhakikisha unaandika hicho kitabu chako na kuja kukitoa kwa wakati)
_____________________
JIANDIKISHE SASA HIVI KABLA NAFASI 8 ZILIZOBAKI HAZIJAISHA.
Na wala usihofu juu ya ukubwa wa vitabu vya waandishi wengine uliyoviona. Sio Lazima na chako kiwe kikubwa sana (kama nilivyoelezea kwenye hii video fupi).
BONYEZA kusikiliza👇
Sasa,
✅ADA YA HII KOZI (mwanzo mpaka mwisho) ni TSH. 21,500 TU! Badala Ya Tsh.100,000 (punguzo la zaidi Ya 75% ili kukusaidia na wewe kutimiza Ndoto Yako kabla mwaka huu haujaisha)
Yaani, Gharama ndogo sana ukilinganisha na Thamani utakayoipata Darasani na baada Ya darasa kuisha (FREE MENTORSHIP)
❣WENZAKO WALIO SERIOUS WAMESHALIPIA ADA (Tsh. 21,500). Angalia hapa chini👇







BADO WEWE TU!
👉NA UKIPITWA NA HII KOZI UTAKUJA KUJILAUMU SANA kwa sababu hii ofa haitajirudia tena. Itarudi kwenye gharama yake halisi ya Tsh.100,000
🌹Kumbuka: KUPITIA HII KOZI UTAJUA JINSI YA KUANDIKA VITABU VIZURI NA KUJUA KUVIUZA KIRAHISI ZAIDI BILA STRESS!
❤BONYEZA HII BUTTON NYEKUNDU HAPA CHINI KUWASILIANA NASI WHATSAPP SASAHIVI NA KUWAHI NAFASI YAKO KATI YA 8 ZILIZOBAKI (kwa Ofa Ya Tsh. 21,500 Ada Ya Kozi) 👇
👉"Malipo ni Kabla Ya kuingizwa kwenye WhatsApp group la Mafunzo" 👇
BONYEZA HAPA

👉Darasani utafundishwa na Mwandishi LACKSON TUNGARAZA mwenye vitabu zaidi Ya 15 na mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 5 kwenye tasnia ya uandishi wa vitabu, na aliyewainua waandishi wengine wengi wanaofanya vizuri katika tasnia ya uandishi wa vitabu nchini TANZANIA 🇹🇿 Na ndiye Founder wa @lamaxdesigns



Nawe JIANDIKISHE SASA HIVI DARASANI, UWAHI NAFASI CHACHE ZILIZOBAKI KWA TSH. 21,500 TU badala Ya Tsh.100,000 (punguzo la zaidi Ya 75%) ili na wewe usaidiwe kutimiza Ndoto Yako Ya Kuandika kitabu chako na kukitoa kikiwa katika viwango vya kimataifa kabla mwaka huu haujaisha!
Bonyeza hii button Nyekundu hapa chini kuja WhatsApp sasa hivi kuwahi nafasi Yako... (kwa Ofa Ya Tsh. 21,500 Ada Ya Kozi)
👉"Malipo ni Kabla Ya kuingizwa kwenye WhatsApp group la Mafunzo" 👇
______________________
BY LAMAX DESIGNS
Chini ya @lacksontungaraza
⏩Tunawasaidia waandishi wa vitabu kuandaa kazi zao, kuzitoa, na kuziuza Zikiwa na viwango vya kimataifa!

BONYEZA HAPA KUWASILIANA NASI WHATSAPP SASAHIVI NA KUWAHI NAFASI YAKO KATI YA 8 ZILIZOBAKI👇 (kwa Ofa Ya Tsh. 21,500 Ada Ya Kozi)
👉"Malipo ni Kabla Ya kuingizwa kwenye WhatsApp group la Mafunzo" 👇
______________________